Advertisements

Monday, July 18, 2016

MSIBA TANZANIA NA DMV

Ndugu watanzania wa DMV tunasikitika kuwajulisha kuwa ndugu yetu Juma Mkuu (Juma Kitwala) amefiwa  na mama yake mzazi Leo huko nyumbani Tanzania.

Kama Ilivyo mila na Desturi yetu basi tumpigie  simu mfiwa au twende tukamuone ili kumpa pole na kutoa Rambirambi zetu.

Msiba kwa hapa DMV upo:
62000 ager road
Hyattsville MD 20782



Kwa Taarifa zaidi wasiliana na;


Juma Mkuu/ Juma Kitwala: 
202 270 6407
Adam Tenga: 240 491 1770
Iddi Sandaly: 301 613 5165


No comments: