Advertisements

Sunday, April 24, 2016

HARAMBEE KUBWA YAFANYIKA HOUSTON KWA AJILI YA MAREHEMU ANDREW SANGA

Jumuiya ya Watanzania wanaoishi katika jiji la Houston, Texas na miji mingine ya jirani jana jioni  (Jumamosi tarehe 24/04/2016) katika ukumbi wa Sienna ulioko mitaa ya Bissonet ilifanya Harambee iliyovunja rekodi kwa ajili ya kuchangisha fedha za kuurudisha mwili wa ndugu ya kipenzi Andrew Nicky Sanga aka Drew. Katika Harambee hiyo jumla ya $52,511 zilikusanywa kutokana na fedha taslimu na minada ya vitu mbalimbali vilivyotolewa na wanajumuiya na marafiki wa Drew kutoka mataifa mbalimbali. Ama kweli Andrew aligusa mioyo ya watu wengi sana katika safari yake hapa duniani. Kamera yetu ilikuwepo ukumbini kukuletea  picha za tukio hilo .

Marehemu Andrew Sanga enzi za uhai wake

Mchungaji akifungua Harambee kwa sala 
Wanajumuiya wa Houston

Emmy akiwa na Dada wa marehemu

Zoe (binti wa marehemu Drew) akiwa ameshikilia picha ya baba yake 
Wakina dada wa Drew wakiwa na Zoe na mama yake 

Emmy, Zoe na shangazi wa Marehemu Andrew
Julius Shayo wa North Carolina ( rafiki wa karibu wa Drew aliyempokea alipofika USA)
Wanajumuiya wakiwa na familia ya Andrew
Wanajumuiya wakifuatilia Fundraising

Wanajumuiya wa Houston




Emmy akiwa na Erasto Mvungi
Emmy akiwa na rafiki yake
Mrs.Khamsin
Wanajumuiya

Carl Louie, Rah P, Vernis na LBT
Marafiki wa Drew kutoka kushoto Dr.Jenga, John , Ephrahim na Aneth 

























































































































No comments: